iqna

IQNA

hong kong
TEHRAN IQNA)- Kiongozi wa Hong Kong amewaomba radhi Waislamu baada ya polisi wa kuzima ghasia kuuhujumu msikiti mkubwa zaidi mjini humo wakati wa kukabiliana na waandamanaji Jumapili.
Habari ID: 3472182    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/21

TEHRAN (IQNA)-Jamii ya Waislamu inazidi kuongezeka huko Hong Kongo, eneo lenye mamlaka ya kujitawala nchini China, na kwa msingi huyo kumeanzishwa jitihada za kujenga msikiti mpya ambao ujenzi wake umekwama kwa muongo moja sasa.
Habari ID: 3471466    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/15